Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 9:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 Na mwana wa Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Yonathani alimzaa Merib-baali, Merib-baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Yonathani alimzaa Merib-baali, Merib-baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Yonathani alimzaa Merib-baali, Merib-baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 9:40
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yonathani, mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa na kilema cha miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano, habari za Sauli na Yonathani zilipofika Yezreeli, na yaya wake akamchukua akakimbia ikawa, alipokimbia kwa haraka, huyo mtoto akaanguka, akawa kilema. Na jina lake aliitwa Mefiboshethi.


Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.


Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo