1 Mambo ya Nyakati 9:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 kwa maana wale walinzi wanne, waliokuwa wakuu, nao ni Walawi, waliwajibika kuvilinda vyumba na hazina ya nyumba ya Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 kwa maana wale walinzi wakuu wanne, ambao walikuwa Walawi, walikuwa na wajibu wa kusimamia vyumba na hazina ya nyumba ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 kwa maana wale walinzi wakuu wanne, ambao walikuwa Walawi, walikuwa na wajibu wa kusimamia vyumba na hazina ya nyumba ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 kwa maana wale walinzi wakuu wanne, ambao walikuwa Walawi, walikuwa na wajibu wa kusimamia vyumba na hazina ya nyumba ya Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu wa kusimamia vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu. Tazama sura |