Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 9:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Hao walinzi walikuwapo pande zote nne, kuelekea mashariki, na magharibi, na kaskazini, na kusini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Kila upande, yaani mashariki, magharibi, kaskazini na kusini, palikuwa na lango lililokuwa na walinzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Kila upande, yaani mashariki, magharibi, kaskazini na kusini, palikuwa na lango lililokuwa na walinzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Kila upande, yaani mashariki, magharibi, kaskazini na kusini, palikuwa na lango lililokuwa na walinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 9:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaenda, wakawaita mabawabu wa mji; wakawaambia, Tulifika kituo cha Washami, na tazama, hapana mtu yeyote huko, wala sauti ya mtu, ila farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na hema zao kama walivyoziacha.


Basi watu hao na wana wao walikuwa na kazi ya ulinzi wa malango ya nyumba ya BWANA, yaani, nyumba ya maskani, kwa zamu.


Na ndugu zao, katika vijiji vyao, wakawajibika kuingia kila siku ya saba, zamu kwa zamu, ili kuwa pamoja nao;


Akaziamuru, kulingana na agizo la Daudi babaye, zamu za makuhani za kutumika, nao Walawi kwa kadiri ya malinzi yao, ili kusifu, na kuhudumu mbele ya makuhani, kama ilivyohitajiwa kila siku; tena mabawabu kwa zamu zao za kila mlango; maana ndivyo alivyoamuru Daudi mtu wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo