1 Mambo ya Nyakati 9:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Basi watu hao na wana wao walikuwa na kazi ya ulinzi wa malango ya nyumba ya BWANA, yaani, nyumba ya maskani, kwa zamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Basi, watu hao na wazawa wao, waliendelea kuyalinda malango ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Basi, watu hao na wazawa wao, waliendelea kuyalinda malango ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Basi, watu hao na wazawa wao, waliendelea kuyalinda malango ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Mwenyezi Mungu, nyumba iliyoitwa Hema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya bwana, nyumba iliyoitwa Hema. Tazama sura |