1 Mambo ya Nyakati 9:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 naye Finehasi, mwana wa Eleazari, alikuwa mkuu wao hapo zamani, naye BWANA alikuwa pamoja naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Finehasi, mwana wa Eleazari, alikuwa msimamizi wao, hapo awali, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Finehasi, mwana wa Eleazari, alikuwa msimamizi wao, hapo awali, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Finehasi, mwana wa Eleazari, alikuwa msimamizi wao, hapo awali, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Mwenyezi Mungu alikuwa pamoja naye: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye bwana alikuwa pamoja naye: Tazama sura |