1 Mambo ya Nyakati 9:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Na katika mabawabu; Shalumu, na Akubu, na Talmoni, na Ahimani, na ndugu zao; naye Shalumu alikuwa mkuu wao; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Walinzi wa hekalu wafuatao pia waliishi katika Yerusalemu: Shalumu, Akubu, Talmoni na Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mkuu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Walinzi wa hekalu wafuatao pia waliishi katika Yerusalemu: Shalumu, Akubu, Talmoni na Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mkuu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Walinzi wa hekalu wafuatao pia waliishi katika Yerusalemu: Shalumu, Akubu, Talmoni na Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mkuu wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Mabawabu katika Hekalu la Mwenyezi Mungu waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Mabawabu katika Hekalu la bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu. Tazama sura |