1 Mambo ya Nyakati 8:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera, baba yake Uza na Ahihudi, ndiye aliyewaongoza kuchukua hatua hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera, baba yake Uza na Ahihudi, ndiye aliyewaongoza kuchukua hatua hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera, baba yake Uza na Ahihudi, ndiye aliyewaongoza kuchukua hatua hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera ndiye aliwapeleka uhamishoni, na alikuwa baba yao Uza na Ahihudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni. Tazama sura |