Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 8:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yonathani alimzaa Merib-baali, na Merib-baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yonathani alimzaa Merib-baali, na Merib-baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yonathani alimzaa Merib-baali, na Merib-baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 8:34
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yonathani, mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa na kilema cha miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano, habari za Sauli na Yonathani zilipofika Yezreeli, na yaya wake akamchukua akakimbia ikawa, alipokimbia kwa haraka, huyo mtoto akaanguka, akawa kilema. Na jina lake aliitwa Mefiboshethi.


Nawe utamlimia nchi hiyo, wewe, na wanao, na watumishi wako; nawe utamletea mjukuu wa bwana wako matunda yake, apate chakula ale; lakini Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako, atakula chakula mezani pangu siku zote. Basi huyo Siba alikuwa na wana kumi na watano na watumishi ishirini.


Huyo Mefiboshethi alikuwa na mwana mdogo, jina lake akiitwa Mika. Na watu wote waliokaa nyumbani mwa Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.


Basi Mefiboshethi, mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli akaenda kwa Daudi, akaanguka kifudifudi, akasujudu. Daudi akasema, Mefiboshethi! Naye akaitika, Mimi hapa, mtumishi wako!


Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.


Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi.


Na mwana wa Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo