Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 8:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 na Miklothi baba yake Shimea. Hawa pia waliishi Yerusalemu karibu na watu wengine wa ukoo wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 na Miklothi baba yake Shimea. Hawa pia waliishi Yerusalemu karibu na watu wengine wa ukoo wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 na Miklothi baba yake Shimea. Hawa pia waliishi Yerusalemu karibu na watu wengine wa ukoo wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 na Miklothi aliyekuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 8:32
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.


na Gedori, na Ahio, na Zekaria,


Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.


Na Miklothi akamzaa Shimea. Hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo