Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 8:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Na Bela alikuwa na wana; Adari, na Gera, na Abihudi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 8:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Benyamini; Bela, na Bekeri, na Ashbeli, na Gera, na Naamani, na Ehi, na Roshi, na Mupimu, na Hupimu, na Ardi.


na wa nne Noha, na wa tano Rafa.


na Abishua, na Naamani, na Ahoa;


Na wana wa Bela walikuwa Ardi na Naamani; wa Ardi, jamaa ya Waardi; wa Naamani, jamaa ya Wanaamani.


Lakini wana wa Israeli walipomlilia BWANA, BWANA akawainulia mwokozi, Ehudi, mwana wa Gera, Mbenyamini, mtu aliyekuwa mwenye shoto; nao wana wa Israeli walimpelekea Egloni mfalme wa Moabu tunu mkononi mwa huyo Ehudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo