Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 8:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 8:29
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.


Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.


na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu;


na Gibeoni, na Rama, na Beerothi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo