1 Mambo ya Nyakati 8:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Hao ndio waliokuwa wakuu wa koo zao kulingana na vizazi vyao. Walikuwa wakuu na waliishi Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Hao ndio waliokuwa wakuu wa koo zao kulingana na vizazi vyao. Walikuwa wakuu na waliishi Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Hao ndio waliokuwa wakuu wa koo zao kulingana na vizazi vyao. Walikuwa wakuu na waliishi Yerusalemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu. Tazama sura |