Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa koo za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu elfu ishirini na mbili na thelathini na wanne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Bela alikuwa na wana watano: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa zao, na wanajeshi mashujaa. Walioandikishwa kwa kufuata koo, idadi ya wazawa wao ilikuwa 22,034.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Bela alikuwa na wana watano: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa zao, na wanajeshi mashujaa. Walioandikishwa kwa kufuata koo, idadi ya wazawa wao ilikuwa 22,034.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Bela alikuwa na wana watano: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa zao, na wanajeshi mashujaa. Walioandikishwa kwa kufuata koo, idadi ya wazawa wao ilikuwa 22,034.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yerimothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa elfu ishirini na mbili na thelathini na wanne (22,034).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 7:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Benyamini; Bela, na Bekeri, na Yediaeli, watatu.


Na wana wa Bekeri; Zemira, na Yoashi, na Eliezeri, na Elioenai, na Omri, na Yeremothi, na Abiya, na Anathothi, na Alemethi. Hao wote ndio wana wa Bekeri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo