Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 7:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 na mwanawe huyo ni Nuni, na mwanawe huyo ni Yoshua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 7:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

na mwanawe huyo ni Ladani, na mwanawe huyo ni Amihudi, na mwanawe huyo ni Elishama;


Musa akaondoka na Yoshua, mtumishi wake, Musa akapanda mlimani kwa Mungu.


Na Yoshua aliposikia kelele za watu walipokuwa wakipiga kelele, akamwambia Musa, Kuna kelele ya vita kambini.


Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Musa tangu ujana wake, akajibu akasema, Ee bwana wangu Musa, uwakataze.


Hayo ndiyo majina ya hao watu waliotumwa na Musa waende kuipeleleza nchi. Na huyo Hoshea mwana wa Nuni, Musa akamwita jina lake Yoshua.


Katika kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni


Na Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwao walioipeleleza nchi, wakararua nguo zao;


BWANA akamwambia Musa, Mtwae Yoshua, mwana wa Nuni, mtu ambaye roho iko ndani yake, ukamwekee mkono wako;


ambayo baba zetu, kwa kupokezana, wakaiingiza pamoja na Yoshua katika milki ya Mataifa wale, ambao Mungu aliwafukuza mbele ya baba zetu, mpaka siku za Daudi;


Akamwagiza Yoshua, mwana wa Nuni, akamwambia, Uwe hodari na moyo mkuu, kwa kuwa utawapeleka wana wa Israeli katika nchi niliyowaapia; nami nitakuwa pamoja nawe.


Maana kama Yoshua angaliwapa pumziko, asingaliinena siku nyingine baadaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo