1 Mambo ya Nyakati 7:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Na Efraimu, baba yao, akaomboleza siku nyingi, wakaja nduguze ili kumfariji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Efraimu baba yao aliomboleza vifo vyao kwa siku nyingi sana, na ndugu zake wakaja kumfariji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Efraimu baba yao aliomboleza vifo vyao kwa siku nyingi sana, na ndugu zake wakaja kumfariji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Efraimu baba yao aliomboleza vifo vyao kwa siku nyingi sana, na ndugu zake wakaja kumfariji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji. Tazama sura |