Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 7:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Na wana wa Efraimu; Shuthela, na mwanawe huyo ni Beredi, na mwanawe huyo ni Tahathi, na mwanawe huyo ni Ekada, na mwanawe huyo ni Tahathi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Hawa ndio wazawa wa Efraimu kutoka kizazi hadi kizazi: Shuthela, Beredi, Tahathi, Eleada, Tahathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Hawa ndio wazawa wa Efraimu kutoka kizazi hadi kizazi: Shuthela, Beredi, Tahathi, Eleada, Tahathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Hawa ndio wazawa wa Efraimu kutoka kizazi hadi kizazi: Shuthela, Beredi, Tahathi, Eleada, Tahathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wazao wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 7:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Shemida walikuwa Ahiani, na Shekemu, na Liki, na Aniamu.


na mwanawe huyo ni Zabadi, na mwanawe huyo ni Shuthela; na Ezeri na Ekadi, ambao watu wa Gathi, wenyeji wa nchi, waliwaua, kwa sababu walishuka ili kuwapokonya ng'ombe wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo