1 Mambo ya Nyakati 7:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Wana wa Manase; Asrieli, ambaye suria yake, Mwarami, alimzalia, akamzalia na Makiri babaye Gileadi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Manase alikuwa na wana wawili kutokana na suria wake Mwaramu: Asrieli na Makiri. Makiri alikuwa baba yake Gileadi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Manase alikuwa na wana wawili kutokana na suria wake Mwaramu: Asrieli na Makiri. Makiri alikuwa baba yake Gileadi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Manase alikuwa na wana wawili kutokana na suria wake Mwaramu: Asrieli na Makiri. Makiri alikuwa baba yake Gileadi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wazao wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake Mwaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi. Tazama sura |