Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 7:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yeseri, na Shalumu; wana wa Bilha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Naftali alikuwa na wana wanne: Yaasieli, Guni, Yereri na Shalumu. Hao walikuwa wazawa wa Bilha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Naftali alikuwa na wana wanne: Yaasieli, Guni, Yereri na Shalumu. Hao walikuwa wazawa wa Bilha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Naftali alikuwa na wana wanne: Yaasieli, Guni, Yereri na Shalumu. Hao walikuwa wazawa wa Bilha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 7:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.


Wana wa Manase; Asrieli, ambaye suria yake, Mwarami, alimzalia, akamzalia na Makiri babaye Gileadi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo