Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Hao wote ndio wana wa Yediaeli, kulingana na wakuu wa koo za baba zao, watu hodari wa vita, elfu kumi na saba na mia mbili, wawezao kwenda vitani katika jeshi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wote hawa walikuwa wakuu wa jamaa katika koo zao na askari mashujaa wa vita. Kutokana na wazawa wao, kulipatikana wanaume 178,200, wanajeshi hodari tayari kabisa kwa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wote hawa walikuwa wakuu wa jamaa katika koo zao na askari mashujaa wa vita. Kutokana na wazawa wao, kulipatikana wanaume 178,200, wanajeshi hodari tayari kabisa kwa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wote hawa walikuwa wakuu wa jamaa katika koo zao na askari mashujaa wa vita. Kutokana na wazawa wao, kulipatikana wanaume 178,200, wanajeshi hodari tayari kabisa kwa vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwa na wapiganaji elfu kumi na saba na mia mbili waliokuwa tayari kwa vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 7:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yediaeli; Bilhani; na wana wa Bilhani; Yeushi, na Benyamini, na Ehudi, na Kenaana, na Zethani, na Tarshishi, na Ahishahari.


Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo