1 Mambo ya Nyakati 6:71 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC71 Na wana wa Gershoni wakapewa, katika jamaa ya nusu kabila ya Manase; Golani katika Bashani pamoja na viunga vyake, na Ashtarothi pamoja na viunga vyake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema71 Jamaa za ukoo wa Gershomu walipewa miji ifuatayo pamoja na malisho yake: Katika nusu ya kabila la Manase walipewa: Golani katika Bashani pamoja na malisho yake, Ashtarothi pamoja na malisho yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND71 Jamaa za ukoo wa Gershomu walipewa miji ifuatayo pamoja na malisho yake: Katika nusu ya kabila la Manase walipewa: Golani katika Bashani pamoja na malisho yake, Ashtarothi pamoja na malisho yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza71 Jamaa za ukoo wa Gershomu walipewa miji ifuatayo pamoja na malisho yake: katika nusu ya kabila la Manase walipewa: Golani katika Bashani pamoja na malisho yake, Ashtarothi pamoja na malisho yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo: Katika nusu ya kabila la Manase, walipokea Golani katika Bashani, na pia Ashtarothi, pamoja na maeneo ya malisho ya kila mji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi. Tazama sura |