Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:68 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

68 na Yokmeamu pamoja na viunga vyake, na Beth-horoni pamoja na viunga vyake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

68 Yokmeamu pamoja na malisho yake, Beth-horoni pamoja na malisho yake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

68 Yokmeamu pamoja na malisho yake, Beth-horoni pamoja na malisho yake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

68 Yokmeamu pamoja na malisho yake, Beth-horoni pamoja na malisho yake;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

68 Yokmeamu, Beth-Horoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

68 Yokmeamu, Beth-Horoni,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:68
8 Marejeleo ya Msalaba  

Baana mwana wa Ahiludi, katika Taanaki na Megido, na Beth-sheani yote, iliyo kando ya Sarethani, chini ya Yezreeli, tangu Beth-sheani mpaka Abel-mehola, hata kupita Yokmeamu.


Basi wakapewa miji ya kukimbilia, yaani, Shekemu pamoja na viunga vyake katika nchi ya milima milima ya Efraimu; na Gezeri pamoja na viunga vyake;


na Aiyaloni pamoja na viunga vyake, na Gath-rimoni pamoja na viunga vyake;


BWANA naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni, akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni, na kuwapiga hadi kufikia Azeka, tena hadi kufikia Makeda.


Kisha ikawa, hapo walipokuwa wakikimbia mbele ya Israeli, hapo walipokuwa wakiteremka Beth-horoni, ndipo BWANA alipowatupia mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao hadi kufikia Azeka, nao wakafa; hao waliokufa kwa kuuawa na hayo mawe ya barafu walikuwa ni wengi kuliko hao waliouawa na wana wa Israeli kwa upanga.


Na mpaka wa wana wa Efraimu kwa kufuata jamaa zao ulikuwa hivi; mpaka na urithi wao upande wa mashariki ulikuwa ni Ataroth-adari, hata Beth-horoni wa juu;


na Kibisaumu pamoja na mbuga zake za malisho, na Beth-horoni pamoja na mbuza zake za malisho, miji minne.


na kikosi kingine kikageukia njia iendayo Beth-horoni; na kikosi kingine kikageukia njia ya mpakani ielekeayo bonde la Seboimu upande wa nyika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo