Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:66 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

66 Na jamaa nyingine za wana wa Kohathi walikuwa na miji ya mipakani mwao katika kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

66 Jamaa nyingine za ukoo wa Kohathi zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efraimu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

66 Jamaa nyingine za ukoo wa Kohathi zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efraimu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

66 Jamaa nyingine za ukoo wa Kohathi zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efraimu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:66
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliobaki wa wana wa Kohathi walipewa kwa kura miji kumi, katika jamaa ya kabila hilo, yaani, nusu kabila, nusu ya Manase.


Basi wakapewa miji ya kukimbilia, yaani, Shekemu pamoja na viunga vyake katika nchi ya milima milima ya Efraimu; na Gezeri pamoja na viunga vyake;


nayo ni hii, Beseri ya barani iliyo katika nchi tambarare, kwa Wareubeni; na Ramothi iliyo Gileadi, kwa Wagadi; na Golani iliyo Bashani, kwa Wamanase.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo