Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:65 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

65 Tena wakawapa kwa kura miji hiyo iliyotajwa majina yake, katika kabila la wana wa Yuda, na katika kabila la wana wa Simeoni, na katika kabila la wana wa Benyamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

65 (Miji iliyotajwa majina hapa juu katika kabila la Yuda, na katika kabila la Simeoni na katika kabila la Benyamini iligawiwa kabila la Lawi kwa kura.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

65 (Miji iliyotajwa majina hapa juu katika kabila la Yuda, na katika kabila la Simeoni na katika kabila la Benyamini iligawiwa kabila la Lawi kwa kura.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

65 (Miji iliyotajwa majina hapa juu katika kabila la Yuda, na katika kabila la Simeoni na katika kabila la Benyamini iligawiwa kabila la Lawi kwa kura.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:65
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na jamaa nyingine za wana wa Kohathi walikuwa na miji ya mipakani mwao katika kabila la Efraimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo