1 Mambo ya Nyakati 6:61 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC61 Nao waliobaki wa wana wa Kohathi walipewa kwa kura miji kumi, katika jamaa ya kabila hilo, yaani, nusu kabila, nusu ya Manase. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema61 Miji kumi ya eneo la nusu ya kabila la Manase ilitolewa kwa sehemu iliyobaki ya ukoo wa Kohathi kwa kura kulingana na jamaa zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND61 Miji kumi ya eneo la nusu ya kabila la Manase ilitolewa kwa sehemu iliyobaki ya ukoo wa Kohathi kwa kura kulingana na jamaa zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza61 Miji kumi ya eneo la nusu ya kabila la Manase ilitolewa kwa sehemu iliyobaki ya ukoo wa Kohathi kwa kura kulingana na jamaa zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase. Tazama sura |