1 Mambo ya Nyakati 6:57 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC57 Na wana wa Haruni wakapewa miji ile ya kukimbilia, nayo ni Hebroni, tena Libna pamoja na viunga vyake, na Yatiri, na Eshtemoa pamoja na viunga vyake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema57 Wazawa wa Aroni walipewa miji ya makimbilio: Hebroni, Libna pamoja na malisho yake, Yatiri na Eshtemoa pamoja na malisho yake, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND57 Wazawa wa Aroni walipewa miji ya makimbilio: Hebroni, Libna pamoja na malisho yake, Yatiri na Eshtemoa pamoja na malisho yake, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza57 Wazawa wa Aroni walipewa miji ya makimbilio: Hebroni, Libna pamoja na malisho yake, Yatiri na Eshtemoa pamoja na malisho yake, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu57 Kwa hiyo wazao wa Haruni walipewa miji ifuatayo: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu57 Kwa hiyo wazao wa Haruni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa, Tazama sura |