Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:55 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

55 wakapewa Hebroni, katika nchi ya Yuda, na vijiji vyake vilivyouzunguka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

55 hao walipewa mji wa Hebroni katika nchi ya Yuda na malisho kandokando yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

55 hao walipewa mji wa Hebroni katika nchi ya Yuda na malisho kandokando yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

55 hao walipewa mji wa Hebroni katika nchi ya Yuda na malisho kandokando yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na maeneo ya malisho yanayouzunguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:55
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yoshua akambariki, akampa Kalebu, huyo mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.


Kisha alimpa huyo Kalebu mwana wa Yefune sehemu kati ya wana wa Yuda, kama BWANA alivyomwamuru Yoshua, Kiriath-arba, ndiyo Hebroni (ni huyo Arba aliyekuwa babaye Anaki).


Kisha wakampa huyo Kalebu Hebroni, kama alivyonena Musa naye akawafukuza wale wana watatu wa Anaki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo