Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

53 na mwanawe huyo ni Sadoki, na mwanawe huyo ni Ahimaasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:53
19 Marejeleo ya Msalaba  

na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.


na Sadoki, mwana wa Ahitubu, na Ahimeleki, mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; na Shausha mwandishi;


Lakini mimi, mtumishi wako, na Sadoki, kuhani, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Sulemani, mtumishi wako, hakutuita sisi.


kisha Sadoki, kuhani, na Nathani, nabii, na wamtie mafuta huko, awe mfalme juu ya Israeli; kapigeni panda, mkaseme, Mfalme Sulemani na aishi!


Ila Sadoki, kuhani, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Nathani, nabii, na Shimei, na Rei, na mashujaa wa Daudi, hao hawakuwa pamoja na Adonia.


Kisha mfalme akamweka Benaya, mwana wa Yehoyada, mahali pake juu ya jeshi; na Sadoki, kuhani, mfalme akamweka mahali pa Abiathari.


na Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa jemadari wa jeshi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;


tena Sadoki, kijana shujaa, na wa nyumba ya babaye, makamanda ishirini na wawili.


Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.


Akawagawanya Daudi, na Sadoki wa wana wa Eleazari, na Ahimeleki wa wana wa Ithamari, katika utumishi kwa kadiri ya huduma yao.


Hao nao wakapigiwa kura vile vile, kama ndugu zao wana wa Haruni, machoni pa Daudi mfalme, na Sadoki, na Ahimeleki, na wakuu wa koo za baba za makuhani na za Walawi; koo za baba za mkuu, vile vile kama za nduguye mdogo.


na mwanawe huyo ni Merayothi, na mwanawe huyo ni Amaria, na mwanawe huyo Ahitubu;


Basi haya ndiyo makao yao, kwa kufuata mipaka ya kambi zao; wana wa Haruni, katika jamaa za Wakohathi; kwani walikuwa na kura ya kwanza;


na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Ahimaasi;


Lakini makuhani Walawi, wana wa Sadoki, waliosimamia patakatifu pangu, hapo wana wa Israeli walipopotea na kuniacha, hao ndio watakaonikaribia ili kunihudumia; nao watasimama mbele zangu, kunitolea mafuta na damu, asema Bwana MUNGU;


Nami nitajiinulia kuhani mwaminifu, atakayefanya kulingana na yale yaliyo katika moyo wangu na katika akili yangu; nami nitamjengea nyumba iliyo imara; naye atakwenda mbele ya masihi wangu milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo