Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:51 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

51 na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:51
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na hawa ndio wana wa Haruni; mwanawe huyo ni Eleazari, na mwanawe huyo ni Finehasi, na mwanawe huyo ni Abishua;


na mwanawe huyo ni Merayothi, na mwanawe huyo ni Amaria, na mwanawe huyo Ahitubu;


Na jamaa za wana wa Kohathi, Walawi, hao wana wengine wa Kohathi waliosalia, wao walikuwa na miji ya kura yao katika kabila la Efraimu.


Kisha Wakohathi wengine waliosalia walipata kwa kura miji kumi katika jamaa za kabila la Efraimu, na katika kabila la Dani, na katika hiyo nusu ya kabila la Manase.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo