Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:47 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

47 mwana wa Mali, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:47
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Merari; Mali na Mushi. Wana wa Mali; Eleazari, na Kishi.


Kwani kazi yao ilikuwa kuwangojea wana wa Haruni katika utumishi wa nyumba ya BWANA, nyuani, na vyumbani, na kwa kuvisafisha vitakatifu vyote, ndiyo kazi ya utumishi wa nyumba ya Mungu;


mwana wa Amzi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri;


Na ndugu zao, Walawi, ndio waliowekwa ili kufanya huduma yote ya maskani ya nyumba ya Mungu.


bali mashamba ya mji huo, na vijiji vyake, alipewa Kalebu, mwana wa Yefune.


Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.


Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele.


Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.


Na hao waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,


na wana wa Merari akawapa magari manne na ng'ombe wanane kama utumishi wao ulivyokuwa, chini ya mkono wa Ithamari, mwana wa Haruni kuhani.


Tena wana wa Gershoni, katika jamaa za Walawi, waliwapa, katika hiyo nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji; na Beeshtera pamoja na mbuga zake za malisho; miji miwili.


Na wana wa Merari kwa kufuata jamaa zao walipata miji kumi na miwili katika kabila la Reubeni, na katika kabila la Gadi, na katika kabila la Zabuloni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo