Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:34
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Amramu; Haruni na Musa; naye Haruni akatengwa, ili ayatakase yaliyo matakatifu sana, yeye na wanawe milele, ili kufukiza uvumba mbele za BWANA, kumtumikia, na kubariki kwa jina lake, milele.


Na zamu za wana wa Haruni ni hizi. Wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Huu ndio utaratibu wa zamu zao katika huduma yao, ya kuingia nyumbani mwa BWANA kwa kadiri ya agizo lao, kwa mkono wa Haruni baba yao, kama BWANA, Mungu wa Israeli, alivyomwamuru.


Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;


mwana wa Sufu, mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai;


Basi wanangu, msiyapuuze haya, kwa kuwa BWANA amewachagua ninyi msimame mbele yake, kumhudumia, nanyi mpate kuwa watumishi wake, mkafukize uvumba.


Nawe umlete Haruni ndugu yako karibu nami, na wanawe pamoja naye, miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani. Haruni, na Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari, wana wa Haruni.


Na Haruni atafukiza uvumba wa manukato juu yake; kila siku asubuhi atakapozitengeneza zile taa, ataufukiza.


Kisha wana wa Haruni, watatia moto juu ya madhabahu, na kuzipanga kuni juu ya moto,


lakini matumbo yake, na miguu yake, ataiosha kwa maji; na huyo kuhani ataviteketeza vyote juu ya madhabahu, ili iwe sadaka ya kuteketezwa, dhabihu ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza kwa BWANA.


Wala hapatakuwa na mtu katika hema ya kukutania, wakati aingiapo ili kufanya upatanisho katika patakatifu, hata atakapotoka nje, baada ya kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake, na kwa ajili ya mkutano wote wa Israeli.


Tena atanyunyiza baadhi ya damu juu ya madhabahu kwa kidole chake mara saba, na kuitakasa, ili machafu yote ya wana wa Israeli yaitoke.


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo