1 Mambo ya Nyakati 6:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Na hawa ndio watu aliowaweka Daudi kwenye kazi ya kuimba katika nyumba ya BWANA, sanduku lile lilipopata mahali pa kukaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Hawa ndio watu ambao mfalme Daudi aliwaweka wahudumu kama waimbaji katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, baada ya sanduku la agano kuwekwa ndani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Hawa ndio watu ambao mfalme Daudi aliwaweka wahudumu kama waimbaji katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, baada ya sanduku la agano kuwekwa ndani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Hawa ndio watu ambao mfalme Daudi aliwaweka wahudumu kama waimbaji katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, baada ya sanduku la agano kuwekwa ndani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Mwenyezi Mungu, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko. Tazama sura |