1 Mambo ya Nyakati 6:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Na wana wa Amramu; Haruni, na Musa, na Miriamu. Na wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Amramu alikuwa na wana wawili: Aroni na Mose, na binti mmoja jina lake Miriamu. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Amramu alikuwa na wana wawili: Aroni na Mose, na binti mmoja jina lake Miriamu. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Amramu alikuwa na wana wawili: Aroni na Mose, na binti mmoja jina lake Miriamu. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Amramu alikuwa na wana: Haruni, Musa, na Miriamu. Haruni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Amramu alikuwa na wana: Haruni, Musa, na Miriamu. Haruni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. Tazama sura |