Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Na wana wa Samweli; Yoeli, mzaliwa wa kwanza, na wa pili Abia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Wana wa Samueli walikuwa wawili: Yoeli, mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya, mdogo wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Wana wa Samueli walikuwa wawili: Yoeli, mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya, mdogo wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Wana wa Samueli walikuwa wawili: Yoeli, mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya, mdogo wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

na mwanawe huyo ni Elihu, na mwanawe huyo ni Yerohamu, na mwanawe huyo ni Elkana.


Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;


Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;


Na jina la mwanawe mzaliwa wa kwanza lilikuwa Yoeli; na jina la wa pili Abiya; walikuwa waamuzi katika Beer-sheba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo