Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Kwa habari za Elkana; wana wa Elkana; mwanawe huyo ni Sufu, na mwanawe huyo ni Tohu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Na hawa ndio wazawa wa Ahimothi: Ahimothi alimzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Na hawa ndio wazawa wa Ahimothi: Ahimothi alimzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Na hawa ndio wazawa wa Ahimothi: Ahimothi alimzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Ahimothi akamzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Elkana; Amasai, na Ahimothi.


na mwanawe huyo ni Elihu, na mwanawe huyo ni Yerohamu, na mwanawe huyo ni Elkana.


mwana wa Sufu, mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai;


na Uzi akamzaa Zerahia; na Zerahia akamzaa Merayothi,


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo