Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Wana wa Kohathi; mwanawe huyo ni Ishari, na mwanawe huyo ni Kora, na mwanawe huyo ni Asiri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Hawa ndio wazawa wa Kohathi kutoka kizazi hadi kizazi: Kohathi alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Hawa ndio wazawa wa Kohathi kutoka kizazi hadi kizazi: Kohathi alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Hawa ndio wazawa wa Kohathi kutoka kizazi hadi kizazi: Kohathi alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:22
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


na mwanawe huyo ni Yoa, na mwanawe huyo ni Ido, na mwanawe huyo ni Zera, na mwanawe huyo ni Yeatherai.


na mwanawe huyo ni Elkana, na mwanawe huyo ni Ebiasafu, na mwanawe huyo ni Asiri;


na Merayothi akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.


Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo