Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wafuatao ndio wazawa wa Gershomu kutoka kizazi hadi kizazi: Gershomu alimzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wafuatao ndio wazawa wa Gershomu kutoka kizazi hadi kizazi: Gershomu alimzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wafuatao ndio wazawa wa Gershomu kutoka kizazi hadi kizazi: Gershomu alimzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.


na mwanawe huyo ni Yoa, na mwanawe huyo ni Ido, na mwanawe huyo ni Zera, na mwanawe huyo ni Yeatherai.


mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo