1 Mambo ya Nyakati 6:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 naye Merari aliwazaa Mahli na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kulingana na koo zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 naye Merari aliwazaa Mahli na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kulingana na koo zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 naye Merari aliwazaa Mahli na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kulingana na koo zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi wakiorodheshwa kufuatana na baba zao: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao: Tazama sura |