Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kila mmoja wao pia alikuwa na wana. Gershomu aliwazaa Libni na Shimei;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kila mmoja wao pia alikuwa na wana. Gershomu aliwazaa Libni na Shimei;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kila mmoja wao pia alikuwa na wana. Gershomu aliwazaa Libni na Shimei;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Wagershoni; Ladani, na Shimei.


Wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Haleluya. Lisifuni jina la BWANA, Enyi watumishi wa BWANA, sifuni.


Mwimbieni Mungu, nguvu zetu, nyimbo za furaha, Mshangilieni Mungu wa Yakobo.


Wana wa Gershoni; ni Libni, na Shimei, kulingana na jamaa zao.


Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.


Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo