Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 na Azaria akamzaa Seraya; na Seraya akamzaa Yehosadaki;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Azaria alimzaa Seraya, Seraya alimzaa Yehosadaki;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Azaria alimzaa Seraya, Seraya alimzaa Yehosadaki;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Azaria alimzaa Seraya, Seraya alimzaa Yehosadaki;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na kamanda wa askari walinzi akamtwaa Seraya, kuhani mkuu, na Sefania, kuhani wa pili, na wale walinzi watu wa mlango;


na Shalumu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;


na Yehosadaki akachukuliwa mateka, hapo BWANA alipowachukua mateka Yuda na Yerusalemu, kwa mkono wa Nebukadneza.


Ikawa baada ya mambo hayo, wakati wa kutawala kwake Artashasta, mfalme wa Uajemi, Ezra, mwana wa Seraya, mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,


na Seraya, mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi wa nyumba ya Mungu,


Naye mkuu wa askari walinzi akamtwaa Seraya, kuhani mkuu, na Sefania, kuhani wa pili, na wale walinzi watatu wa mlango;


naam, pokea fedha na dhahabu, ukatengeneze taji, ukamvike kichwani Yoshua, mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo