Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 na Shalumu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Meshulamu alimzaa Hilkia, Hilkia alimzaa Azaria,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Meshulamu alimzaa Hilkia, Hilkia alimzaa Azaria,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Meshulamu alimzaa Hilkia, Hilkia alimzaa Azaria,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipokwisha kumwita mfalme, wakatokewa na Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu, mwenye kuandika tarehe.


Nenda kwa Hilkia, kuhani mkuu, ili aihesabu fedha yote inayoletwa nyumbani mwa BWANA, ambayo mabawabu wameipokea kwa watu;


na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Shalumu;


na Azaria akamzaa Seraya; na Seraya akamzaa Yehosadaki;


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na wakuu wake wakawapa watu, na makuhani na Walawi matoleo ya hiari. Hilkia na wana na Yehieli, wakubwa wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani, kuwa matoleo ya Pasaka, wana-kondoo elfu mbili na mia sita, na ng'ombe mia tatu.


kwa mkono wa Elasa, mwana wa Shafani, na Gemaria, mwana wa Hilkia, (ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma hadi Babeli, kwa Nebukadneza, mfalme wa Babeli), kusema,


Na jina la mwanawe mzaliwa wa kwanza lilikuwa Yoeli; na jina la wa pili Abiya; walikuwa waamuzi katika Beer-sheba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo