Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Shalumu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Ahitubu alimzaa Sadoki, Sadoki alimzaa Meshulamu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Ahitubu alimzaa Sadoki, Sadoki alimzaa Meshulamu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Ahitubu alimzaa Sadoki, Sadoki alimzaa Meshulamu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

na Azaria akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;


na Shalumu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;


Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.


na Azaria, mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu;


na Seraya, mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi wa nyumba ya Mungu,


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo