Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 6:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Lawi alikuwa na wana watatu: Gershomu, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 6:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Basi Daudi akawagawanya kwa zamu zao sawasawa na wana wa Lawi; Gershoni, Kohathi, na Merari.


Wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;


Na kama mkono mwema wa Mungu wetu ulivyokuwa pamoja nasi, wakamletea Ishekeli, mmoja wa wana wa Mali, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli; na Sherebia, pamoja na wanawe na ndugu zake, watu kumi na wanane;


Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, kulingana na vizazi vyao; Gershoni, na Kohathi, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


Na hao waliohesabiwa katika Walawi kwa jamaa zao ni hawa; wa Gershoni, jamaa ya Wagershoni; na wa Kohathi, jamaa ya Wakohathi; na wa Merari, jamaa ya Wamerari.


Kisha BWANA akanena na Musa huko katika jangwa la Sinai, na kumwambia,


Na wana wa Lawi walikuwa ni hawa kwa majina yao; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo