1 Mambo ya Nyakati 5:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 na Bela, mwana wa Azazi, mwana wa Shemaya, mwana wa Yoeli, aliyekaa huko Aroeri, hadi Nebo na Baal-meoni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Bela, mwana wa Azazi na mjukuu wa Shema, wa ukoo wa Yoeli, uliokuwa ukiishi Aroeri na katika eneo lote la kaskazini hadi Bela na Baal-meoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Bela, mwana wa Azazi na mjukuu wa Shema, wa ukoo wa Yoeli, uliokuwa ukiishi Aroeri na katika eneo lote la kaskazini hadi Bela na Baal-meoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Bela, mwana wa Azazi na mjukuu wa Shema, wa ukoo wa Yoeli, uliokuwa ukiishi Aroeri na katika eneo lote la kaskazini hadi Bela na Baal-meoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo lililoanzia Aroeri hadi Nebo na Baal-Meoni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni. Tazama sura |