Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 5:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Na nduguze kwa jamaa zao, hapo ilipohesabiwa nasaba ya vizazi vyao; mkuu wao, Yeieli, na Zekaria,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Wakuu wa koo wafuatao waliandikishwa katika orodha ya kumbukumbu ya kabila la Reubeni, Yeieli, Zekaria,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Wakuu wa koo wafuatao waliandikishwa katika orodha ya kumbukumbu ya kabila la Reubeni, Yeieli, Zekaria,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Wakuu wa koo wafuatao waliandikishwa katika orodha ya kumbukumbu ya kabila la Reubeni, Yeieli, Zekaria,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa koo zao kama ifuatavyo: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 5:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Hao wote walihesabiwa kwa nasaba, katika siku za Yothamu, mfalme wa Yuda, na siku za Yeroboamu, mfalme wa Israeli.


na mwanawe huyo ni Beera, ambaye Tiglath-Pileseri, mfalme wa Ashuru, alimchukua mateka; ndiye aliyekuwa mkuu wa Wareubeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo