Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 5:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Na wana wa Gadi walipakana na wana wa Reubeni, katika nchi ya Bashani mpaka Saleka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kabila la Gadi lilipakana na kabila la Reubeni upande wa kaskazini, katika nchi ya Bashani iliyoenea mashariki hadi Saleka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kabila la Gadi lilipakana na kabila la Reubeni upande wa kaskazini, katika nchi ya Bashani iliyoenea mashariki hadi Saleka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kabila la Gadi lilipakana na kabila la Reubeni upande wa kaskazini, katika nchi ya Bashani iliyoenea mashariki hadi Saleka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, hadi Saleka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 5:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yoeli, alikuwa mkuu wao, na wa pili Shafamu, na Yanai, na Shafati, katika Bashani;


Na wana wa Gadi kwa jamaa zao; wa Sifoni, jamaa ya Wasifoni; wa Hagi, jamaa ya Wahagi; wa Shuni, jamaa ya Washuni;


naye alitawala katika mlima wa Hermoni, na katika Saleka, na katika Bashani yote, hadi mpaka wa Wageshuri, na Wamaaka, na nusu ya Gileadi, mpaka wa huyo Sihoni mfalme wa Heshboni.


na Gileadi na mpaka wa Wageshuri, na Wamaaka, na mlima wa Hermoni wote, na Bashani yote mpaka Saleka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo