Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 Basi wakaenda mpaka maingilio ya Gedori, naam, mpaka upande wa mashariki wa bonde hilo, ili kuwatafutia kondoo wao malisho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Walienea hadi kwenye lango la mji wa Gedori, upande wa mashariki wa bonde, ili kuwatafutia kondoo wao malisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Walienea hadi kwenye lango la mji wa Gedori, upande wa mashariki wa bonde, ili kuwatafutia kondoo wao malisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Walienea hadi kwenye lango la mji wa Gedori, upande wa mashariki wa bonde, ili kuwatafutia kondoo wao malisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 wakaenea wakafika viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Yoela, na Zebadia, wana wa Yerohamu, wa Gedori.


Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.


hao waliotajwa majina yao ndio waliokuwa wakuu katika jamaa zao; na koo za baba zao zikaongezeka sana.


na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata, babaye Bethlehemu.


Wakaona malisho ya unono, mazuri, na nchi yenyewe ilikuwa wazi, tulivu na yenye amani; kwani waliokaa huko zamani walikuwa watu wa Hamu.


mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;


Halhuli, Beth-suri, Gedori;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo