1 Mambo ya Nyakati 4:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC39 Basi wakaenda mpaka maingilio ya Gedori, naam, mpaka upande wa mashariki wa bonde hilo, ili kuwatafutia kondoo wao malisho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Walienea hadi kwenye lango la mji wa Gedori, upande wa mashariki wa bonde, ili kuwatafutia kondoo wao malisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Walienea hadi kwenye lango la mji wa Gedori, upande wa mashariki wa bonde, ili kuwatafutia kondoo wao malisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Walienea hadi kwenye lango la mji wa Gedori, upande wa mashariki wa bonde, ili kuwatafutia kondoo wao malisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 wakaenea wakafika viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao. Tazama sura |