Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Naye Meshobabu, na Yamleki, na Yosha, mwana wa Amazia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Watu wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Watu wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Watu wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:34
3 Marejeleo ya Msalaba  

na vijiji vyote vilivyoizunguka miji iyo hiyo, mpaka Baali. Hayo ndiyo makao yao, na hati ya nasaba yao wanayo.


na Yoeli, na Yehu, mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli;


Na hao walioandikwa majina yao waliingia huko katika siku za Hezekia, mfalme wa Yuda, na kuziharibu hema zao, pamoja na hao Wameuni waliokuwa wakiishi huko, wakawaangamiza kabisa, hata siku hii ya leo, nao wakakaa huko badala yao; kwa sababu huko kulikuwa na malisho kwa kondoo wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo