Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Na vijiji vyao vilikuwa Etamu, na Aini, na Rimoni, na Tokeni, na Ashani, miji mitano,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Pia, waliishi katika miji mingine mitano: Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Pia, waliishi katika miji mingine mitano: Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Pia, waliishi katika miji mingine mitano: Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Vijiji vya miji hiyo vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani: miji mitano,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:32
4 Marejeleo ya Msalaba  

na huko, Beth-markabothi, na Hasar-susimu, na Bethbiri, na Shaaraimu. Hiyo ndiyo miji yao hadi wakati wa kutawala kwa Daudi.


na vijiji vyote vilivyoizunguka miji iyo hiyo, mpaka Baali. Hayo ndiyo makao yao, na hati ya nasaba yao wanayo.


Aini, Rimoni, Etheri na Ashani; miji minne, pamoja na vijiji vyake;


na Aini, pamoja na mbuga zake za malisho, na Yuta pamoja na mbuga zake za malisho, na Beth-shemeshi pamoja na mbuga zake za malisho; miji tisa katika makabila hayo mawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo