1 Mambo ya Nyakati 4:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Na hawa ndio wana wa babaye Etamu; Yezreeli, na Ishma, na Idbashi; na dada yao aliitwa jina lake Haselelponi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Wana wa Etamu walikuwa Yezreeli, Ishma na Idbashi. Walikuwa na dada mmoja aliyeitwa Haselelponi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Wana wa Etamu walikuwa Yezreeli, Ishma na Idbashi. Walikuwa na dada mmoja aliyeitwa Haselelponi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Wana wa Etamu walikuwa Yezreeli, Ishma na Idbashi. Walikuwa na dada mmoja aliyeitwa Haselelponi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Hawa walikuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi. Tazama sura |