Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 4:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Nao wakakaa huko Beer-sheba, na Molada, na Hasar-shuali;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Miji walimokuwa wakiishi ilikuwa Beer-sheba, Molada, Hasar-shuali,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Miji walimokuwa wakiishi ilikuwa Beer-sheba, Molada, Hasar-shuali,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Miji walimokuwa wakiishi ilikuwa Beer-sheba, Molada, Hasar-shuali,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 4:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Naye Shimei alikuwa na wana wa kiume kumi na sita, na wana wa kike sita; lakini nduguze walikuwa hawana watoto wengi, tena jamaa yao yote haikuongezeka sana kama wana wa Yuda.


na huko Bilha, na Esemu, na Toladi;


na katika Yeshua, na Molada, na Beth-peleti;


na Hasar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;


Miji ya mwisho ya kabila la wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, Ederi, Yaguri;


Amamu, Shema, Molada;


Kisha sehemu ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana, kwa ajili ya hilo kabila la wana wa Simeoni, kwa kufuata jamaa zao; na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.


Huo urithi wa hao wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda; kwa maana hilo fungu la wana wa Yuda lilikuwa ni kubwa mno kwao; kwa hiyo wana wa Simeoni walikuwa na urithi katikati ya urithi wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo